Ticker

6/recent/ticker-posts

RAIS SAMIA SULUHU AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA RAIS AMBAYE PIA NI AFISA MTENDAJI MKUU WA WOODROW WILSON


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais ambaye pia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Woodrow Wilson International Center Balozi Mark Green mara baada ya kuwasili katika Ofisi za Taasisi hiyo Jijini Washington nchini Marekani tarehe 22 Aprili, 2022.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Rais ambaye pia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Woodrow Wilson International Center Balozi Mark Green katika Ofisi za Taasisi hiyo Jijini Washington nchini Marekani tarehe 22 Aprili, 2022.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Rais ambaye pia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Woodrow Wilson International Center Balozi Mark Green katika Mdahalo uliofanyika katika Ofisi za Taasisi hiyo Jijini Washington nchini Marekani tarehe 22 Aprili, 2022.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Mdahalo katika Ofisi za Taasisi hiyo Jijini Washington nchini Marekani tarehe 22 Aprili, 2022.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Rais ambaye pia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Woodrow Wilson International Center Balozi Mark Green katika Mkutano uliofanyika katika Ofisi za Taasisi hiyo Jijini Washington nchini Marekani tarehe 22 Aprili, 2022.

Post a Comment

0 Comments