Ticker

6/recent/ticker-posts

RAIS SAMIA SULUHU AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA MWENYEKITI WA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO JUMA DUNI HAJI


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Juma Duni Haji aliyefika Ikulu Tunguu tarehe 05 Mei, 2022 kwa ajili ya kujitambulisha kwa Mhe. Rais mara baada ya kuchaguliwa katika wadhifa huo.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika mazungumzo na Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Juma Duni Haji Ikulu Tunguu, Zanzibar tarehe 05 Mei, 2022.

Post a Comment

0 Comments