Ticker

6/recent/ticker-posts

RAIS WA DKT.HUSSEIN MWINYI AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA OMAN

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisakimiana na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje wa Oman anayeshughulikia Fedha na Utawala Mhe. Mohammed Nasser Al Wahaibi , alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo 24-7-2022, akiongozana na Balozi wa Oman Nchini Tanzania Mhe. Saud Hilal Al Shidhani na Balozi Mdogo wa Oman anayefanyia Kazi zake Zanzibar Mhe. Said Salim Al Sinawi.(Picha na Ikulu) RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje wa Oman Anayeshughulikia Fedha na Utwala Mhe. Mohammed Nasser Al Wahaibi, alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo 24-7-2022, akiongozana na Balozi wa Oman Nchini Tanzania Mhe. Saud Hilal Al Shidhani na Balozi Mdogo wa Oman anayefanyia Kazi zake Zanzibar Mhe. Said Salim Al Sinawi.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi ya mlango wa Zanzibar mgeni wake Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje wa Oman Anayeshughulikia Fedha na Utawala Mhe. Mohammed Nasser Al Wahaibi, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo 24-7-2022.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje wa Oman Anayeshughulikia Fedha na Utawala Mhe. Mohammed Nasser Al Wahaibi, alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo 24-7-2022.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapunduzi Mhe.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi ya picha inoyoonesha Mji wa historia wa Oman, na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje wa Oman Anayeshughulikia Fedha na Utawala Mhe. Mohammed Nasser Al Wahaibi, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar leo 24-7-2022.(Picha na Ikulu)

Post a Comment

0 Comments