Ticker

6/recent/ticker-posts

DKT SHEIN AONGOZA KIKAO MAALUM CHA KAMATI MAALUM YA CCM

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt Mohamed Ali Shein akiongoza Kikao Maalum cha Kamati Maalum ya CCM kilichoketi Leo Septemba 20, 2022 Afisi Kuu ya CCM kisiwanduzi Zanzibar.
WAJUMBE wa Kikao cha Kamati Maalumu ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar wakifuatilia Kikao hicho kikiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein, kilichofanyika leo 20-9-2022, katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Unguja Jijini Zanzibar. (PICHA Zote na Fahadi Siraji / CCM Makao Makuu)

Post a Comment

0 Comments