Ticker

6/recent/ticker-posts

MADIWANI HALMASHAURI YA SHINYANGA WAPITISHA TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO KWA MWAKA 2021/2022


Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Mhe. Ngassa Mboje akizungumza kwenye Mkutano Maalumu wa Baraza la Madiwani kwa ajili ya kujadili na kupitisha Taarifa za Hesabu za Mwisho za Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga kwa mwaka wa fedha 2021/2022.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Mhe. Ngassa Mboje akiongoza Mkutano Maalumu wa Baraza la Madiwani kwa ajili ya kujadili na kupitisha Taarifa za Hesabu za Mwisho za Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga kwa mwaka wa fedha 2021/2022 uliofanyika leo Jumatano Septemba 28,2022 katika ukumbi wa makao makuu ya halmashauri hiyo Iselamagazi. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga Mhe. Nicodemus Simon.

Katika mkutano huo, Waheshimiwa Madiwani wameruhusu Mchakato wa ufungaji wa Ripoti za Hesabu za Mwisho za Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga kwa mwaka wa fedha 2021/2022 zilizoishia Juni 30,2022 uendelee kwa ajili ya kuwasilisha katika Ofisi ya Ukaguzi ya Taifa.

Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Mhe. Ngassa Mboje akizungumza kwenye Mkutano Maalumu wa Baraza la Madiwani kwa ajili ya kujadili na kupitisha Taarifa za Hesabu za Mwisho za Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga kwa mwaka wa fedha 2021/2022.
Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga, Stewart Makali akizungumza kwenye Mkutano Maalumu wa Baraza la Madiwani kwa ajili ya kujadili na kupitisha Taarifa za Hesabu za Mwisho za Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga kwa mwaka wa fedha 2021/2022.
Mweka Hazina wa Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga, Rumoka akitoaa Taarifa za Hesabu za Mwisho za Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga kwa mwaka wa fedha 2021/2022
Mkutano Maalumu wa Baraza la Madiwani kwa ajili ya kujadili na kupitisha Taarifa za Hesabu za Mwisho za Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga kwa mwaka wa fedha 2021/2022 ukiendelea
Madiwani wakiwa kwenye Mkutano Maalumu wa kujadili na kupitisha Taarifa za Hesabu za Mwisho za Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga kwa mwaka wa fedha 2021/2022
Madiwani wakiwa kwenye Mkutano Maalumu wa kujadili na kupitisha Taarifa za Hesabu za Mwisho za Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga kwa mwaka wa fedha 2021/2022
Mkutano ukiendelea
Madiwani wakiwa kwenye Mkutano Maalumu wa kujadili na kupitisha Taarifa za Hesabu za Mwisho za Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga kwa mwaka wa fedha 2021/2022
Madiwani wakiwa kwenye Mkutano Maalumu wa kujadili na kupitisha Taarifa za Hesabu za Mwisho za Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga kwa mwaka wa fedha 2021/2022
Madiwani wakiwa kwenye Mkutano Maalumu wa kujadili na kupitisha Taarifa za Hesabu za Mwisho za Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga kwa mwaka wa fedha 2021/2022
Madiwani wakiwa kwenye Mkutano Maalumu wa kujadili na kupitisha Taarifa za Hesabu za Mwisho za Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga kwa mwaka wa fedha 2021/2022
Madiwani wakiwa kwenye Mkutano Maalumu wa kujadili na kupitisha Taarifa za Hesabu za Mwisho za Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga kwa mwaka wa fedha 2021/2022
Katibu Tawala wilaya ya Shinyanga, Boniphace Chambi akitoa salamu kwenye Mkutano Maalumu wa kujadili na kupitisha Taarifa za Hesabu za Mwisho za Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga kwa mwaka wa fedha 2021/2022
Katibu wa CCM wilaya ya Shinyanga Vijijini, Erinestina Richard akitoa salamu kwenye Mkutano Maalumu wa kujadili na kupitisha Taarifa za Hesabu za Mwisho za Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga kwa mwaka wa fedha 2021/2022
Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Shinyanga Vijijini, Edward Ngelelaakitoa salamu kwenye Mkutano Maalumu wa kujadili na kupitisha Taarifa za Hesabu za Mwisho za Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga kwa mwaka wa fedha 2021/2022
Wadau na wakuu wa Idara na Vitengo  Halmashauri ya Shinyanga wakiwa kwenye Mkutano Maalumu wa kujadili na kupitisha Taarifa za Hesabu za Mwisho za Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga kwa mwaka wa fedha 2021/2022.

Picha zote na Kadama Malunde - Malunde 1 blog


Post a Comment

0 Comments