



MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambae pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan akiwa katika ukumbi wa White House Dodoma kuongoza Kikao Maalum cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika leo 27-9-2022 na (kulia ) Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein.( Picha na Ikulu)
0 Comments