Ticker

6/recent/ticker-posts

MATUKIO MBALIMBALI YA PICHA: KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA POSTA DUNIANI


Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Moses Nnauye (Mb) akitembelea mabanda mbalimbali ya maonesho wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Posta Duniani tarehe 9 Oktoba 2022, katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere (JNICC), jijini Dar es Salaam.

Matukio mbalimbali wakati wa kilele cha maadhimisho ya Siku ya Posta Duniani tarehe 9 Oktoba, 2022, katika ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere (JNICC).

Mgeni Rasmi ni Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape Moses Nnauye (mb)

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Jim Yonazi akiwa na Viongzi mbalimbali katika maadhimisho ya siku ya Posta duniani katika ukumbi wa Julius Nyerere Internationa Convention Centre, jijini Dar es Salaam Oktoba 09, 2022.Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Jim Yonazi akizungumza katika maadhimisho ya siku ya Posta duniani katika ukumbi wa Julius Nyerere Internationa Convention Centre, jijini Dar es Salaam Oktoba 09, 2022. Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam Bi. Kate Kamba akizungumza katika maadhimisho ya siku ya Posta duniani katika ukumbi wa Julius Nyerere Internationa Convention Centre, jijini Dar es Salaam Oktoba 09, 2022. Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania (TPC) Macrise Mbodo akizungumza katika maadhimisho ya siku ya Posta duniani katika ukumbi wa Julius Nyerere Internationa Convention Centre, jijini Dar es Salaam Oktoba 09, 2022.

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu Mhe. Selemani Kakoso, akizungumza katika maadhimisho ya siku ya Posta duniani katika ukumbi wa Julius Nyerere Internationa Convention Centre, jijini Dar es Salaam Oktoba 09, 2022.

(PICHA ZOTE NA EMMANUEL MBATILO, WHMTH)

Post a Comment

0 Comments