
Shirika la ITU lilikutanisha Nchi wanachama wake mnamo tarehe 26 Septemba, 2022 ambapo pamoja na majadiliano ya Kisekta, Tanzania ilichaguliwa kuwa miongoni mwa Wajumbe wa Baraza la ITU kwa kipindi cha miaka minne kuanzia 2023 hadi 2026.

Ushiriki wa Tanzania kwenye sambamba na Tanzania kupata nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Uhariri wa maudhui yanayojadiliwa kwenye mikutano mbalimbali ya Nchi wanachama, wakati Mkutano Mkuu ukiendelea. Maudhui hayo ndiyo yanayowasilishwa na kupitishwa katika Mkutano Mkuu unaotarajiwa kuhitimishwa Ijumaa Tarehe 14 Oktoba, 2022.
0 Comments