Ticker

6/recent/ticker-posts

MUSONDA JR NI MWANANCHI


***************

Klabu ya Yanga imemtambulisha mchezaji mpya Kennedy Musonda kutoka katika klabu ya Power Dynamos ya nchini Zambia huu unakuwa usajili wa pili wa Yanga katika dirisha dogo baada ya Mudathiri Yahya ambaye alimaliza mkataba wake na Azam Fc.

Ikumbukwe kuwa Msemaji wa Yanga Sc Ally Kamwe akisema kuwa wanahitaji kusajili wachezaji wawili wa kimataifa kwenye dirisha hiili dogo ambalo linatarajia kufungwa Usiku wa Januari 15, 2023.

Post a Comment

0 Comments