Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akitembelea mabanda katika Maonesho ya 47 ya Kimataifa ya Biashara, yanayofanyika kwenye Viwanja vya Manonesho vya Sabasaba, jijini Dar es Salaam. Julai 05, 2023 kabla ya kuyazindua rasmi maonesho hayo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
0 Comments