“Nimeona kwenye moja ya vyombo vya habari vikitangaza kwamba wazazi wamechangishwa fedha shilingi 80,000/= kwenye shule yetu ya Sekondari ya wasichana Shinyanga, katika kufuatilia hilo jambo ambalo limeenea kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii, nikafuatilia zaidi nikagundua kwamba wapo baadhi ya wazazi waliweza kulipa shilingi 80,000/= ya mchango ndani ya shule wamejikuta wakilipa kwa sababu shule hii ni mpya ilianza mwaka 13.08.2023 ambapo shule ilianza na kidato cha tano na kwa mujibu wa maelekezo walichangia shilingi 80,000/=”,ameeleza.
0 Comments