Ticker

6/recent/ticker-posts

MKUU WA WILAYA YA HANDENI, ALBART MSANDO AGAWA MITUNGI 300 YA TAIFA GAS KWA WANANCHI WAKE HANDENI.

Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Wakili Albart Msando(kulia) akimkabidhi mtungi wa Taifa Gas Shekh wa Wilaya ya Handeni, Shaban Kizulwa wakati wa hafla ya kukabidhi mitungi 300 ya Taifa Gas Bure kwa wakazi wa wilaya ya Handeni mjini.Ikiwa ni Kampeni maalumu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.Samia Suluhu Hassan ya kumtua Mama mzigo wa kuni na kuhifandhi mazingira kwa kutumia nishati safi ya Taifa Gas.Katikati kulia ni Maneja mahusiuano wa Taifa Gas, Angela Bhoke na Maneja Mauzo wa Maduka, Nanzighe Nyambera.
Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Wakili Albart Msando(kulia) akimkabidhi mtungi wa Taifa Gas Kiongozi wa Wakina Mama Wajasiliamali Wilaya ya Handeni, Mwajabu Mhina wakati wa hafla ya kukabidhi mitungi 300 ya Taifa Gas bure kwa wakazi wa wilaya ya Handeni mjini.Ikiwa ni Kampeni maalumu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.Samia Suluhu Hassan ya kumtua Mama mzigo wa kuni na kuhifandhi mazingira kwa kutumia nishati safi ya Taifa Gas.Katikati kulia ni Maneja mahusiuano wa Taifa Gas, Angela Bhoke na Maneja Mauzo wa Maduka, Nanzighe Nyambera.
Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Wakili Albart Msando(kulia) akimkabidhi mtungi wa Taifa Gas Mama lishe, Bahati Shahiri wa Soko kuu la Handeni wakati wa hafla ya kukabidhi mitungi 300ya Taifa Gas Bure kwa wakazi wa wilaya ya Handeni mjini.Ikiwa ni Kampeni maalumu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.Samia Suluhu Hassan ya kumtua Mama mzigo wa kuni na kuhifandhi mazingira kwa kutumia nishati safi ya Taifa Gas.Katikati kulia ni Maneja mahusiuano wa Taifa Gas, Angela Bhoke na Maneja Mauzo wa Maduka, Nanzighe Nyambera.
Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Wakili Albart Msando(kulia) akimkabidhi mtungi wa Taifa Gas Afisa Tarafa wa kwa Msisi, Lugaila Ngwabi wakati wa hafla ya kukabidhi mitungi 300 ya Taifa Gas bure kwa wakazi wa wilaya ya Handeni mjini.Ikiwa ni Kampeni maalumu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.Samia Suluhu Hassan ya kumtua Mama mzigo wa kuni na kuhifandhi mazingira kwa kutumia nishati safi ya Taifa Gas.Katikati kulia ni Maneja mahusiuano wa Taifa Gas, Angela Bhoke na Maneja Mauzo wa Maduka, Nanzighe Nyambera.
Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Wakili Albart Msando(kulia) akimkabidhi mtungi wa Taifa Gas Afisa Tarafa wa Mzundu, Elizabeth Mponda wakati wa hafla ya kukabidhi mitungi 300 ya Taifa Gas bure kwa wakazi wa wilaya ya Handeni mjini.Ikiwa ni Kampeni maalumu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.Samia Suluhu Hassan ya kumtua Mama mzigo wa kuni na kuhifandhi mazingira kwa kutumia nishati safi ya Taifa Gas.Katikati kulia ni Maneja mahusiuano wa Taifa Gas, Angela Bhoke na Maneja Mauzo wa Maduka, Nanzighe Nyambera.
Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Wakili Albart Msando(katikati) akikata utepe kama ishaar ya uzinduzi wa Duka la Taifa Gas Wilayani Handeni wakati wa hafla ya kukabidhi mitungi 300 ya Taifa Gas bure kwa wakazi wa wilaya ya Handeni mjini.Ikiwa ni Kampeni maalumu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.Samia Suluhu Hassan ya kumtua Mama mzigo wa kuni na kuhifandhi mazingira kwa kutumia nishati safi ya Taifa Gas.
Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Wakili Albart Msando azungumza na baadhi ya wakazi wa Handeni mjini(hawapo pichani) wakati wa hafla ya kukabidhi mitungi 300 ya Taifa Gas bure kwa wakazi wa wilaya ya Handeni mjini.Ikiwa ni Kampeni maalumu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.Samia Suluhu Hassan ya kumtua Mama mzigo wa kuni na kuhifandhi mazingira kwa kutumia nishati safi ya Taifa Gas.
Wakazi wa Wilaya ya Handeni wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Wakili Albart Msando(hayupo pichani) ) wakati wa hafla ya kukabidhi mitungi 300 ya Taifa Gas bure kwa wakazi wa wilaya ya Handeni mjini.Ikiwa ni Kampeni maalumu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.Samia Suluhu Hassan ya kumtua Mama mzigo wa kuni na kuhifandhi mazingira kwa kutumia nishati safi ya Taifa Gas.
Meneja mahusiano wa Taifa Gas, Angela Bhoke azungumza na baadhi ya wakazi wa Handeni mjini(hawapo pichani) wakati wa hafla ya kukabidhi mitungi 300 ya Taifa Gas bure kwa wakazi wa wilaya ya Handeni mjini.Ikiwa ni Kampeni maalumu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.Samia Suluhu Hassan ya kumtua Mama mzigo wa kuni na kuhifandhi mazingira kwa kutumia nishati safi ya Taifa Gas.
Mkuu wa Wilaya akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Wakazi wa handeni waliopata mitungi ya Taifa Gas bure.Ju mla ya mitungi 200 imegawiwa bure kwa wakazi wa handeni mjini.
Wakina Mama Lishe wa Soko Kuu la Wilaya ya Handeni Mjini wakifurahia Majiko ya Taifa Gas mara baada ya kukabidhiwa na Mkuu wa Wilaya ya Handeni , Wakili Albart Msando. Ikiwa ni Kampeni maalumu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.Samia Suluhu Hassan ya kumtua Mama mzigo wa kuni na kuhifandhi mazingira kwa kutumia nishati safi ya Taifa Gas.Wakazi wa Wilaya ya Handeni Mjini wakikabidhiwa mitungi ya Taifa Ges bure kwa utaratibu maalum ulivyopangwa.

Post a Comment

0 Comments