**********************
Naibu Katibu Mkuu CCM Bara Ndugu John V. K Mongella anatarajia kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Mkoa wa Mbeya tarehe 20 Novemba 2024 uzinduzi utakaofanyika katika Uwanja wa Kabwe.
Habari
Meneja wa TRA Mkoa wa Shinyanga, Emmanuel Maro, akiwa pamoja na Mkuu wa Shule ya Wasic…
Read more
0 Comments