**********************
Naibu Katibu Mkuu CCM Bara Ndugu John V. K Mongella anatarajia kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Mkoa wa Mbeya tarehe 20 Novemba 2024 uzinduzi utakaofanyika katika Uwanja wa Kabwe.
Habari
Kila chama cha siasa kinaposajiliwa huwa na katiba na kanuni zinazokiongoza katika …
Read more
0 Comments