Ticker

6/recent/ticker-posts

WAZIRI MKUU AMPIGIA RAIS SAMIA SIMU NA KUZUNGUMZA NA WADAU WA MCHEZO WA NGUMI KWENYE PAMBANO LA KNOCKOUT YA MAMA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza kwa njia ya Simu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan alipopiga simu kuzungumza na wadau na Mashabiki wa mchezo wa ngumi, wakati wa tukio maalum la pambano la ngumi la ‘Knockout ya Mama’ linalofanyika katika ukumbi wa Super Dome, Masaki jijini Dar es Salaam, Desemba 26, 2024

Post a Comment

0 Comments