Ticker

6/recent/ticker-posts

MWENYEKITI WA CCM RAIS MHE. SAMIA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM IKULU CHAMWINO JIJINI DODOMA



Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM kilichokutana leo Sept,10,2021 Ikulu Chamwino Jijini Dodoma.

Post a Comment

0 Comments