Ticker

6/recent/ticker-posts

RAIS DK.MWINYI AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA BALOZI WA NIGERIA NCHINI TANZANIA MHE HAMISU UMAR IKULU ZANZIBAR


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ai Mwinyi akimsikiliza Balozi wa Nigeria Nchini Tanzania Mhe. Hamisu Umar Takamawa, alipofi Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Balozi wa Nigeria Nchini Tanzania Mhe Hamisu Umar Takamawa, alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiongazana na mgeni wake Balozi wa Nigeria Nchini Tanzania Mhe. Hamisu Umar Takamawa, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na mgeni wake Balozi wa Nigeria Nchini Tanzania Mhe.Hamisu Umar Takamawa, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.5-10-2021.(Picha na Ikulu)

Post a Comment

0 Comments