Ticker

6/recent/ticker-posts

MAKAMU WA RAIS DKT.MPANGO AZUNGUMZA NA WATANZANIA WAISHIO NCHINI SINGAPORE

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akiwa katika picha ya pamoja na watanzania waishio nchini Singapore, mara baada ya kumaliza kwa mazungumzo yaliolenga kusikiliza changamoto zinazowakabili pamoja na kusikiliza ushauri na maoni yao kwa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wengine ni Naibu Waziri wa Wizara ya Mmambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mbarouk Mbarouk pamoja na Balozi wa Tanzania nchini India Baraka Luvanda Novemba 16,2021.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akizungumza na watanzania waishio nchini Singapore, mazungumzo yaliolenga kusikiliza changamoto zinazowakabili pamoja na kusikiliza ushauri na maoni yao kwa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Novemba 16,2021.


Balozi wa Heshima wa Tanzania nchini Singapore Mhe.Teo Sieng Seng akimkabidhi zawadi ya kitabu Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango mara baada ya kumalizkika kwa mazungumzo yao yaliofanyika katika Hoteli ya Raffles Nchini Singapore . Novemba 16,2021.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akizungumza na Balozi wa Heshima wa Tanzania nchini Singapore Mhe.Teo Sieng Seng mazungumzo yaliofanyika katika Hoteli ya Raffles Nchini Singapore . Novemba 16,2021.

Post a Comment

0 Comments