Ticker

6/recent/ticker-posts

RAIS MUSEVEN AWASILI NCHINI KUANZA ZIARA YA KISERIKALI YA SIKU TATU


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na mgeni wake Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam leo tarehe 27 Novemba 2021 kwa ajili ya ziara ya Kitaifa ya siku tatu hapa nchini.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwa na mgeni wake Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam leo tarehe 27 Novemba 2021 kwa ajili ya ziara ya Kitaifa ya siku tatu hapa nchini.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwa na mgeni wake Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni akimtambulisha ujumbe aliofuatana nao mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam leo tarehe 27 Novemba 2021 kwa ajili ya ziara ya Kitaifa ya siku tatu hapa nchini.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwa na mgeni wake Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni wakisalimiana na Wasanii wa vikundi vya ngoma mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam leo tarehe 27 Novemba 2021 kwa ajili ya ziara ya Kitaifa ya siku tatu hapa nchini.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama na mgeni wake Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni wakati nyimbo za mataifa mawili (Tanzania &Uganda na ule wa Afrika Mashariki) zikipigwa katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam leo tarehe 27 Novemba 2021 mara baada ya Rais wa Uganda Mhe. Museveni kuwasili nchini.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na mgeni wake Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni wakati alipowasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam leo tarehe 27 Novemba 2021 mara baada ya Rais wa Uganda Mhe. Museveni kuwasili nchini.


Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni, akikagua Gwaride la JWTZ nara baada ya kuwasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam leo tarehe 27 Novemba 2021 mara baada ya Rais wa Uganda Mhe. Museveni kuwasili nchini.

PICHA NA IKULU

Post a Comment

0 Comments