Ticker

6/recent/ticker-posts

TRA YAIBUKA MSHINDI WA KWANZA WAKALA WA SERIKALI TUZO ZA NBAA

Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Alphayo Kidata akipokea tuzo ya ushindi wa kwanza katika kundi la Wakala wa Serikali kwenye Shindano la Uandaaji Bora wa Hesabu kwa Viwango vya Kimataifa vya Uandaaji wa Hesabu za Sekta za Umma kwa mwaka 2020. Shindano hilo liliandaliwa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) na hafla ya utoaji tuzo hizo imefanyika katika Kituo cha Mikutano cha NBAA Bunju Dar es Salaam
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Alphayo Kidata akipokea tuzo ya ushindi wa kwanza katika kundi la Wakala wa Serikali kwenye Shindano la Uandaaji Bora wa Hesabu kwa Viwango vya Kimataifa vya Uandaaji wa Hesabu za Sekta za Umma kwa mwaka 2020. Shindano hilo liliandaliwa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) na hafla ya utoaji tuzo hizo imefanyika katika Kituo cha Mikutano cha NBAA Bunju Dar es Salaam.
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Alphayo Kidata na Mkurugenzi wa Idara ya Uhasibu Bi. Dina Edward wakiwa wameshikilia tuzo ya ushindi wa kwanza iliyotolewa kwa TRA katika kundi la Wakala wa Serikali kwenye Shindano la Uandaaji Bora wa Hesabu kwa Viwango vya Kimataifa vya Uandaaji wa Hesabu za Sekta za Umma kwa mwaka 2020. Shindano hilo liliandaliwa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) na hafla ya utoaji tuzo hizo imefanyika katika Kituo cha Mikutano cha NBAA Bunju Dar es Salaam.

Watumishi wa Idara ya Uhasibu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kupata tuzo ya ushindi wa kwanza iliyotolewa kwa TRA katika kundi la Wakala wa Serikali kwenye Shindano la Uandaaji Bora wa Hesabu kwa Viwango vya Kimataifa vya Uandaaji wa Hesabu za Sekta za Umma kwa mwaka 2020. Shindano hilo liliandaliwa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) na hafla ya utoaji tuzo hizo imefanyika katika Kituo cha Mikutano cha NBAA Bunju Dar es Salaam


Watumishi wa Idara ya Uhasibu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kupata tuzo ya ushindi wa kwanza iliyotolewa kwa TRA katika kundi la Wakala wa Serikali kwenye Shindano la Uandaaji Bora wa Hesabu kwa Viwango vya Kimataifa vya Uandaaji wa Hesabu za Sekta za Umma kwa mwaka 2020. Shindano hilo liliandaliwa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) na hafla ya utoaji tuzo hizo imefanyika mwishoni mwa wiki katika Kituo cha Mikutano cha NBAA Bunju Dar es Salaam. (PICHA ZOTE NA TRA

Post a Comment

0 Comments