Ticker

6/recent/ticker-posts

SPIKA DKT. TULIA NA MBUNGE MJINI AKAGUA DARAJA LA TEMBELA NA MWASANGA JIJINI MBEYA


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Mbeya Mjini, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), akikagua daraja la Tembela na Mwasanga zilizopo katika kata hiyo wakati wa ziara ya kikazi kuhusu mafanikio na mipango ya Serikali katika jimbo hilo leo Machi 4, 2022


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Mbeya Mjini, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), akizungumza na wananchi wa kata ya Tembela na Mwasanga wakati wa ziara ya kikazi kuhusu mafanikio na mipango ya Serikali katika jimbo hilo leo Machi 4, 2022


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Mbeya Mjini, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mjini, Mhe. Dkt. Rashid Chuachua na viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali wakati alipofanya ziara ya kikazi kuhusu mafanikio na mipango ya Serikali katika kata ya Tembela ma Mwasanga zilizopo Jimbo la Mbeya Mjini leo Machi 4, 2022


Wananchi wa kata ya Tembela na Mwasanga wakimsikiliza Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Mbeya Mjini, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akizungumza wakati wa ziara ya kikazi katika kata hiyo kuhusu mafanikio na mipango ya Serikali katika jimbo hilo leo Machi 4, 2022

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

Post a Comment

0 Comments