Ticker

6/recent/ticker-posts

RAIS SAMIA SULUHU AFUTARISHA VIONGOZI NA WANANCHI WA MKOA WA DAR ES SALAAM .

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, akifutari pamoja na Viongozi wa Dini, Wanasiasa, Wazee na Wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaam katika Futari aliyoiyandaa Jana 10 April 2022 Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Post a Comment

0 Comments