

Baadhi ya Wanafamilia na Watoto wa Marehemu Hassan Ali Hassan Mwinyi Mtoto wa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Ali Hassan Mwinyi wakiitikia dua iliyoombwa nyumbani kwao Chukwani Wilaya ya Magharibi “B“ Nje ya Jiji la Zanzibar,wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Mama Samia Suluhu Hassan (hayupo pichani) alipofika kutoa pole kwa msia walioupata. [Picha na Ikulu] 01/09/2022. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Mama Samia Suluhu Hassan (wa pili kulia) Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Ali Hassan Mwinyi na Mkewe Mama Siti Mwinyi (katikati) Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) wakiitikia dua iliyoombwa na Sheikh Asumani Mohamed Jengo (kulia) nyumbani kwa Marehemu Hassan Ali Hassan Mwinyi Chukwani Wilaya ya Magharibi “B“ Nje ya Jiji la Zanzibar.[Picha na Ikulu] 01/09/2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Mama Samia Suluhu Hassan (wa pili kulia) Mke wa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Ali Hassan Mwinyi na Mkewe Mama Siti Mwinyi (kulia) Kizuka wa Marehemu Hassan Ali Hassan Mwinyi Bi,Fauzia Salim Hilal (wa pili kushoto) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi (kushoto) wakiitikia dua iliyoombwa nyumbani kwa Marehemu Hassan Ali Hassan Mwinyi Chukwani Wilaya ya Magharibi “B“ Nje ya Jiji la Zanzibar.[Picha na Ikulu]

01/09/2022.
0 Comments