Ticker

6/recent/ticker-posts

MERIDIANBET YAZINNDUA DUKA JIPYA FIRE




Wataalamu na wakongwe wa michezo ya kubashiri Meridiabet baada ya kusubiri kwa muda duka mitaa ya Fire hatimaye leo hii mtaa wa Fire kunawaka kwani limezinduliwa duka kwaajili ya kubashiri michezo mbalimbali huku ODDS BOMBA kama mvua zikimwagika kila siku kazi inabaki kwako tu kuweka dau na kubashiri. Duka hili litawawezesha wakazi wa Fire na wengine wapita njia kubashiri wakichagua machaguo zaidi ya 1000 wanayotaka.


Hii si mara ya kwanza Meridianbet wanazindua duka ni kawaida yao kwani mpaka sasa wana maduka mengi sana kwaajili ya kubetia katika maeneo mbalimbali jijini Dar es salaam kila mtaa ni wao tu rangi nyekundu ipo kila mahali na sasa wana Jackpot kubwa kabisa.


Beti na Meridianbet mechi za ligi zote, odds ni kubwa sana, usikose pia Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet yenye michezo rahisi ya sloti kama Poker, Aviator, Roulette.



Baada ya uzinduzi wa duka hilo mitaa ya Fire, Bwana Twaha Ibrahim ambaye ni mkuu wa kitengo cha Maudhui Meridianbet kwanza alisema kuwa; “Duka hili ambalo tumezindua ni la nne kwa mwezi huu, na hakika natumaini mmefurahi sisi kuwaletea duka hili kwaajili ya kuwarahisishia kwenye shughuli zenu za kubetia”



Twaha hakuishia hapo aliwashukuru watu wote ambao walihudhuria kwenye uzinduzi huo na kuwaambia kuwa hawajakosea kuchagua Meridianbet kwenye kubashiri kwani Meridianbet hutoa kile ambacho wanakitaka na pia ODDS KUBWA zipo hapa.

Post a Comment

0 Comments