RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akishuhudia utiaji wa Saini ya Ushirikiano wa Miradi ya Sekta ya Afya baina ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China,wakisaini Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Nassor Ahmed Mazrui(kulia) na (kushoto) Balozi Mdogo wa China anayefanyia Kazi zake Zanzibar Mhe. Zhang Zhisheng, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 16-5-2023.(Picha na Ikulu)

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi ya Kasha mgeni wake Rais wa Taasisi ya “Chinese –African People’s Friendship Association (CAPFA)” Dr. Li Bin, baada ya kumalizika kwa hafla ya utiaji wa saini ya Ushirikiano wa Miradi ya Sekta ya Afya baina na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 16-05-2023.(Picha na Ikulu)


0 Comments