Ticker

6/recent/ticker-posts

DKT. KIKWETE ASISITIZA AMANI NCHI ZA SADC

Rais Mtaafu wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (katikati), akiwasilisha mada kwenye mhadhara wakati wa Mkutano wa 43 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), jijini Luanda Angola. Kushoto ni Katibu Mkuu Mstaafu wa tatu wa SADC, Mhe. Tomaz Salomao na kulia ni Waziri Mkuu Mstaafu wa Msumbiji, Mhe. Luisa Diogo.

Kamishna Msaidizi wa Idara ya Fedha za Nje kutoka Wizara ya Fedha, Bw. James Msina (wa pili kulia) na Wakili wa Serikali Mwandamizi kutoka Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Bi. Felista Lelo, wakifuatilia mada zilizotolewa wakati wa wa Mkutano wa 43 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), jijini Luanda Angola.

Wajumbe kutoka Tanzania (mstari wa kwanza) wakifuatilia mada zilizoangazia maendeleo ya uchumi, zilizotolewa wakati wa wa Mkutano wa 43 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), jijini Luanda Angola.

Rais Mtaafu wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akisalimiana na Kamishna Msaidizi wa Idara ya Fedha za Nje kutoka Wizara ya Fedha, Bw. James Msina, katika viwanja vya Chuo cha Diplomasia Angola, wakati wa mikutano ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), jijini Luanda Angola.

Wajumbe kutoka nchi 16 za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) wakifuatilia mada mbalimbali zilizowasilishwa wakati wa Mkutano wa 43 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), jijini Luanda Angola.
Rais Mtaafu wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (wa nne kulia), akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe kutoka Tanzania katika viwanja vya Chuo cha Diplomasia Angola baada ya kuwasilisha mada kwa wajumbe wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) na wanafunzi wa chuo hicho, jijini Luanda Angola.

(Picha na Kitengo cha Mawasiliano, WF, Luanda, Angola)

Post a Comment

0 Comments