Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi pamoja na Wananchi wa Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja Bomani tarehe 17 Septemba, 2023.

Wananchi wa Masasi wakiwa kwenye shamrashamra za kumpokea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Bomani, Masasi Mkoani Mtwara tarehe 17 Septemba, 2023.
0 Comments