Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge
na Uratibu), Dk. Jim James Yonazi akisisitiza jambo wakati alipokagua maendeleo
ya ujenzi wa jengo la Ofisi ya Makamu wa Rais linalojengwa katika Mji wa
Serikali Mtumba jijini Dodoma Oktoba 23, 2023.
Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge
na Uratibu), Dk. Jim Yonazi akiendelea na ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi
wa jengo la Ofisi ya Makamu wa Rais linalojengwa katika Mji wa Serikali Mtumba jijini
Dodoma Oktoba 23, 2023.
Mwonekano kwa nje jengo la Ofisi ya Makamu wa
Rais linaloendelea kujengwa katika Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma ambapo Katibu
Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera Bunge na Uratibu), Dk. Jim Yonazi amefanya
ziara ya kulikagua Oktoba 23, 2023.
0 Comments