Ticker

6/recent/ticker-posts

UWEKAJI WA JIME LA UZINDUZI HOSPITALI YA WILAYA KIVUNGE MKOA KASKAZINI UNGUJA.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi ( wa tatu kulia) pamoja na Waziri wa Afya (wa tatu kushoto) kwa pamoja wakifungua pazia kama ishara ya uwekaji wa Jiwe la Uzinduzi wa Hospitali ya Wilaya Kivunge Mkoa wa Kaskazini Unguja leo akiwa katika ziara zake kutembelea Miradi mbali mbali ya maendeleo katika Mikoa ya Unguja.[Picha na Ikulu] 23/10/2023.
Jengo jipya la Hospitali ya Wilaya Kivunge Mkoa wa Kaskazini Unguja limefunguliwa leo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika mfulizo wa ziara zake katika Mikoa ya Unguja.[Picha na Ikulu] 23/10/2023.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi ( wa pili kulia) akiwasalimia Viongozi mbali mbali alipowasili katika uwekaji wa Jiwe la Uzinduzi wa Hospitali ya Wilaya Kivunge Mkoa wa Kaskazini Unguja leo akiwa katika ziara zake kutembelea Miradi mbali mbali ya maendeleo katika Mikoa ya Unguja(kulia) Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe.Ayoub Mohamed Mahmoud.[Picha na Ikulu] 23/10/2023.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi ( katikati) akikata utepe kuzindua Hospitali ya Wilaya Kivunge Mkoa wa Kaskazini Unguja,Viongozi mbali mbali wakishuhudia uzinduzi huo leo akiwa katika ziara zake kutembelea Miradi mbali mbali ya maendeleo katika Mikoa ya Unguja(kulia) Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Tanzania wa Saifee Hospitali Bw.Murtaza Ali Bhai.[Picha na Ikulu] 23/10/2023.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi ( katikati) akipata maelezo kutoka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Tanzania wa Saifee Hospitali Bw.Murtaza Ali Bhai (kushoto) wakati alipotembelea Hospitali ya Wilaya Kivunge Mkoa wa Kaskazini Unguja,mara baada ya uzinduzi rasmi leo ambapo viongozi Viongozi mbali mbali walishuhudia uzinduzi huo, akiwa katika ziara zake kutembelea Miradi mbali mbali ya maendeleo katika Mikoa ya Unguja .[Picha na Ikulu] 23/10/2023.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akipata maelezo kutoka kwa Dr.Navil Aggarwal wa Saifee Hospitali Bw.Murtaza Ali Bhai (kushoto) wakati alipotembelea Chumba cha huduma za X Ray Hospitali ya Wilaya Kivunge Mkoa wa Kaskazini Unguja,mara baada ya uzinduzi rasmi leo ambapo viongozi Viongozi mbali mbali walishuhudia uzinduzi huo, akiwa katika ziara zake kutembelea Miradi mbali mbali ya maendeleo katika Mikoa ya Unguja .[Picha na Ikulu] 23/10/2023.
Baadhi ya Vifaa vipya vya Hospitali ya Wilaya Kivunge Mkoa wa Kaskazini Unguja,ambayo leo imezinduliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi. [Picha na Ikulu] 23/10/2023.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akipata maelezo kutoka kwa Dr. Husein Hassanali Mtaalam wa Upasuaji wa Mishipa ya Moyo katika Saifee Hospital Zanzibar inayoendesha kutoa huduma za Afya kwa Hospitali za Wilaya Zanzibar (katikati) wakati alipotembelea Hospitali ya Wilaya Kivunge Mkoa wa Kaskazini Unguja,mara baada ya uzinduzi rasmi leo akiwa katika ziara zake kutembelea Miradi mbali mbali ya maendeleo katika Mikoa ya Unguja (kushoto) Mkurugenzi na Daktari wa masuala ya Familia Dr.Murtaza Haidarbhai, .[Picha na Ikulu] 23/10/2023.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akiwasalimia wananchi waliofika kupata matibabu kwa maradhi mbali mbali wakati wa uzinduzi wa Hospitali ya Wilaya Kivunge Mkoa wa Kaskazini Unguja,wakati alipotembelea vyumba mbali mbali katika Hospitali hiyo akiwa katika ziara kutembelea Miradi mbali mbali ya maendeleo katika Mikoa ya Unguja .[Picha na Ikulu] 23/10/2023.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi alipokuwa akitoa hutuba yake katika hafla ya uwekaji wa Jiwe la Uzinduzi wa Hospitali ya Wilaya Kivunge Mkoa wa Kaskazini Unguja leo akiwa katika ziara zake kutembelea Miradi mbali mbali ya maendeleo katika Mikoa ya Unguja(kushoto) Waziri wa Afya Mhe.Nassor Ahmed Mazrui.[Picha na Ikulu] 23/10/2023.

Post a Comment

0 Comments