Ticker

6/recent/ticker-posts

NCHIMBI ATEULIWA KUWA KATIBU MKUU WA CCM


Dkt. Emmanuel Nchimbi ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) akichukua nafasi ya Daniel Chongolo aliyejiuzulu.

Uteuzi wa aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Misri, Dk Emmanuel Nchimbi kuwa Katibu Mkuu wake mpya umefanyika leo Jumatatu Januari 15, 2024 wakati wa kikao cha Kamati Kuu ya CCM kisha kuthibitishwa na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC) iliyofanyika mjini Unguja, Zanzibar

Post a Comment

0 Comments