Ticker

6/recent/ticker-posts

MANCHESTER CITY, PSG WAPANGWA KUNDI MOJA UEFA CHAMPION LEAGUE


**************************

NA EMMANUEL MBATILO

Baada ya kushuhudia droo ya Klabu bingwa Ulaya ikipangwa leo tumeona kundi A likiwa limejaa wababe ambapo kuna timu ya PSG,Manchester City, RB Leipzig na Club Brugge hivyo tutatazama miamba miwili kati ya PSG na Manchester City wakiumana kwenye kundi hilo.

Ikumbukwe yakuwa kuna uwezekano mkubwa mshambuliaji wa klabu ya Juventus na timu ya taifa ya Ureno Christian Ronaldo kujiunga na Manchester City kwenye majira haya ya usajili.

Mabingwa wa Ulaya waliopita Chelsea wao wamepangwa kwenye kundi H ambapo amepangwa na klabu ya Juventus, Malmo na Zenit St. Petersburg.

Post a Comment

0 Comments