Ticker

6/recent/ticker-posts

BALOZI MULAMULA AMPOKEA MJUMBE MAALUM WA WAZIRI MKUU WA UINGEREZA


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Liberata Mulamula akimueleza jambo Mjumbe Maalum wa Waziri Mkuu wa Uingereza anayeshugulikia masuala ya biashara Tanzania Bw. Lord Walney walipokutana kwa mazungumzo katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam


Mjumbe Maalum wa Waziri Mkuu wa Uingereza anayeshugulikia masuala ya biashara Tanzania Bw. Lord Walney akimsikilza Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Liberata Mulamula akimueleza jambo walipokutana kwa mazungumzo katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam


Ujumbe wa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula (kulia) katika kikao na Mjumbe Maalum wa Waziri Mkuu wa Uingereza anayeshugulikia masuala ya biashara Tanzania Bw. Lord Walney katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula akiwa na Mjumbe Maalum wa Waziri Mkuu wa Uingereza anayeshugulikia masuala ya biashara Tanzania Bw. Lord Walney, katika picha ya pamoja na Balozi wa Uingereza hapa nchini, Mhe. David Concar (mwenye suti ya bluu), kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Amerika na Ulaya katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Swahiba Mndeme


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula akimsikiliza Balozi wa Korea ya Kusini aliyemaliza muda wake wa uwakilishi hapa nchini Mhe. Tae-ick Cho wakati alipokwenda kumuaga Mhe. Waziri katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula akimueleza jambo Balozi wa Korea ya Kusini aliyemaliza muda wake wa uwakilishi hapa nchini Mhe. Tae-ick Cho katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam




Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula akimkabidhi zawadi ya picha ya jahazi Balozi wa Korea ya Kusini aliyemaliza muda wake wa uwakilishi hapa nchini Mhe. Tae-ick Cho katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula akiwa na Balozi wa Korea ya Kusini aliyemaliza muda wake wa uwakilishi hapa nchini Mhe. Tae-ick Cho katika picha ya pamoja na Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Caesar Waitara

Post a Comment

0 Comments