


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi ya Mlango wa Zanzibar mgeni wake Mkuu wa Ujumbe wa Wawekezaji kutoka Nchini Misri wa Makampuni ya Triumph Hotels Mejor General Ehab Shoman Mkurugenzi Mkuu wa Kanda wa Mahoteli ya Triumph, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 13-12-2021.(Picha na Ikulu)
0 Comments