Ticker

6/recent/ticker-posts

SIMBA SC YAINYESHEA MVUA YA MAGOLI DAR CITY, YAITANDIKA MABAO 6-0



*****************

EMMANUEL MBATILO,DAR ES SALAAM

KLABU ya Simba imefanikiwa kusonga mbele kombe la Azam Federation Cup mara baada ya kufanikiwa kuwachapa mvua ya magoli timu ya Dar City mabao 6-0.

Simba imeingia hatua hiyo magoli yakiwekwa kimyani na Meddie Kagere ambaye amefunga mabao 2 na mengine yakifungwa na Chama, Bwalya,beki wao kisiki Wawa na Chri Mugalu ambaye alifunga mahesabu ya mabao katika uwanja huo wa Benjamini mkapa Jijini Dar es Salaam.

Simba sc imewachukua mechi nne kupata ushindi kwa mara ya kwanza hivyo nakuwaacha mahasimu wao Yanga kuendelea kushika usukani wa ligi.

Post a Comment

0 Comments