Ticker

6/recent/ticker-posts

WAZIRI MULAMULA AKUTANA NA WATANZANIA WANAOISHI SAUDI ARABIA

Balozi Mulamula mwenye (ushungi wa bluu) akiwa na Waziri wa Maliasili na Utaalii Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro (kushoto) Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Mashimba Ndaki (kulia) pamoja na viongozi wa Jumuiya ya Watanzania wanaoishi nchini Saudi Arabia wakati walipokutana na Mawaziri hao nyumbani kwa Balozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia Mhe. Ali Mwadini jijini Riyadh.

Post a Comment

0 Comments