Ticker

6/recent/ticker-posts

SIMBA SC KUUMANA NA ORLANDO PIRATES ROBO FAINALI CAFCC

WAWAKILISHI Pekee wa Tanzania na ukanda wa Afrika Mashariki timu ya Simba imepangwa kucheza na Orlando Pirates ya Afrika Kusini katika hatua ya robo Fainali ya Michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika.


Simba Sc wataanza kucheza mchezo wao wa kwanza kati ya April 15 au 17 katika uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar Es Salaam.

Post a Comment

0 Comments