Ticker

6/recent/ticker-posts

TAIFA STARS MAMBO MAGUMU KUFUZU AFCON 2023



*************************

Timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' imekubali kichapo cha mabao 2-0 dhidi ya Algeria katika Uwanja wa Benjamin Mkapa na kusalia nafasi ya 3 katika kundi F ikiwa na pointi 1.

Nafasi ya nne yupo Uganda akiwa na pointi 1 na Algeria anaongoza kundi akiwa na alama 6 baada ya kushinda mechi mbili huku Niger akiwa nafasi ya pili na alama 2.

Mechi ijayo Stars itacheza dhidi ya Uganda Septemba 19 ugenini kisha kurudiana Septemba 27 kwa Mkapa.

Post a Comment

0 Comments