Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Dkt. Asha-Rose Migiro akifurahia zawadi zilizoandaliwa na wanamichezo wa Tanzania kwenye Michezo ya Jumuiya ya Madola alipowatembelea katika kijiji cha wanamichezo katika Chuo Kikuu cha Birmingham leo Jumatatu Julai 25, 2025


0 Comments