Ticker

6/recent/ticker-posts

RAIS DKT.HUSSEIN MWINYI ASAINI KITABU CHA MAOMBELEZI YA MALKIA ELIZABETH WA II WA UINGEREZA OFISI ZA UBALOZI LEO JIJINI DAR ES SALAAM

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisaini Kitabu cha maombelezi kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth II wa Uingereza, alipofika katika Ofisi za Ubalozi wa Uingereza Oysterbay Jijini Dar es Salaam leo 14-9-2022.(Picha na Ikulu) RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakiagana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla, akiondoka Nchini leo14-9-2022 Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, akielekea Nchini Angola kuhudhuria hafla ya kuapishwa kwa Rais Mteule wa Jamhuri ya .Angola Mhe. Joao Manuel Goncalves Lourenco, kumuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan.(Picha na Ikulu)

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Kaimu Balozi wa Uingereza Nchini Tanzania Mhe.Rick Shearn alipofika katika Ofisi za Ubalozi wa Uingereza Oysterbay Jijini Dar es Salaam leo 14-9-2022, kusaini kitabu cha maombolezi kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth II wa Uingereza.(Picha na Ikulu)

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi akisaini Kitabu cha maombelezi kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth II wa Uingereza, alipofika katika Ofisi za Ubalozi wa Uingereza Oysterbay Jijini Dar es Salaam leo 14-9-2022, na .(Picha na Ikulu)

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Kaimu Balozi wa Uingerza Nchini Tanzania Mhe. Rick Shearn, alipofika Ofisi za Ubalozi wa Uingereza Oysterbay Jijini Dar es Salaam leo 14-9- 2022, kwa ajili ya kusaini Kitabu cha maombolezi kufiatila kifo cha Malkia Elizabeth II wa Uingereza.(Picha na Ikulu)

MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akisaini kitabu cha maombolezi kufuatikia Kifo cha Malkia Elizabeth II wa Uingereza, alipofika katika Ofisi za Ubalozi wa Uingereza Oysterbay Jijini Dar es Salaam leo 14-9-2022.(Picha na Ikulu)

Post a Comment

0 Comments