Ticker

6/recent/ticker-posts

RAIS MWINYI AZUNGUMZA NA UJUMBE WA TAEC

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi (kulia) akizungumza na ujumbe wa Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) ukiongozwa na Mwenyekiti wake Prof. Joseph John Msambichaka (wa pili kulia) walipofika kujitambilisha na kutoa taarifa ya utekelezaji wake Ikulu Jijini Zanzibar leo (kushoto) Waziri wa Afya Mhe.Nassor Ahmed Mazrui.[Picha na Ikulu] 12/09/2022.Mkurugenzi wa Bodi ya Tume ya Nguvu ya Atomiki Tanzania (TAEC) Prof.Lazaro Simon Petro (katikati) alipokuwa akiwasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa majukumu ya Tume hiyo wakati walipokutana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) walipofika Ikulu Jijini Zanzibar kutoa taarifa ya utekelezaji wa Bodi hiyo leo.[Picha na Ikulu] 12/09/2022.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi (katikati) akimsikiliza Mkurugenzi wa Bodi ya Tume ya Nguvu ya Atomiki Tanzania (TAEC) Prof.Lazaro Simon Petro (wa pili kushoto) alipokuwa akiwasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa majukumu ya Tume hiyo katika ukumbi wa Ikulu Jijin Zanzibar leo. [Picha na Ikulu] 12/09/2022.

Post a Comment

0 Comments