Ticker

6/recent/ticker-posts

MAJALIWA AZUNGUMZA KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 46 YA CCM MKOA WA KIGOMA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa akiwapungia wananchi wakati alipoingia kwenye uwanja wa Umoja uliopo Kasulu, kwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya miaka 46 ya CCM yaliyofanyika kimkoa kwenye uwanja hou, Februari 4, 2023. Kulia kwake ni Menyekiti wa CCM Mkoa wa Kigoma, Jamal Tamim.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa akisalimiana na viongozi wa mkoa wa Kigoma wakati alipoingia kwenye uwanja wa Umoja uliopo Kasulu kwa mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Miaka 46 ya CCM yaliyofanyika kimkoa kwenye uwanja hou

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa akizungumza katika Maadhimisho ya Miaka 46 ya CCM yaliyofanyika kimkoa kwenye uwanja wa Umoja uliopo Kasulu Mkoani Kigoma
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa akizungumza na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kigoma, Jamal Tamim katika Maadhimisho ya Miaka 46 ya CCM yaliyofanyika kimkoa kwenye uwanja wa Umoja uliopo Kasulu Mkoani Kigoma,
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu CCM Taifa akionyesha Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya uchaguzi wa 2020 wakati alipozungumza katika Maadhimisho ya Miaka 46 ya CCM yaliyofanyika kimkoa kwenye uwanja wa Umoja uliopo Kasulu Kigoma,

Baadhi ya wapenzi na wanachama wa CCM wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa wakati alipozungumza katika Maadhimisho ya Mika 46 ya CCM yaliyofanyika kimkoa kwenye uwanja wa Umoja iliopo Kasulu Mkoani Kigoma, Februari 4, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Post a Comment

0 Comments