Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia Prof.Carolyne Nombo akiwa katika hafla ya Utoaji wa Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu inayofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Johari Rotana leo Aprili 13,2023 Jijini Dar es Salaam
Kamishna wa Elimu, Dkt. Lyabwene Mtahabwa akiwa katika hafla ya Utoaji wa Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu inayofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Johari Rotana leo Aprili 13,2023 Jijini Dar es Salaam
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET), Dkt. Aneth Komba akiwa katika hafla ya Utoaji wa Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu inayofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Johari Rotana leo Aprili 13,2023 Jijini Dar es Salaam
Waandishi nguli wa mashairi na riwaya mbalimbali wakiwa katika hafla ya Utoaji wa Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu inayofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Johari Rotana leo Aprili 13,2023 Jijini Dar es Salaam
Waandishi nguli wa mashairi na riwaya mbalimbali wakiwa katika hafla ya Utoaji wa Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu inayofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Johari Rotana leo Aprili 13,2023 Jijini Dar es Salaam
(PICHA ZOTE NA EMMANUEL MBATILO)
******************
Viongozi mbalimbali nchini na nje ya Tanzania, wamehudhuria hafla ya utoaji tuzo ya taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu.
Hafla hiyo imefanyika leo Alhamisi 13, 2023 katika Ukumbi wa Hoteli ya Johari Rotana jijini Dar es Salaam.
Miongoni mwa viongozi waliohudhuria ni Rais Mstaafu wa Msumbiji, Joaquim Chissano, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Rizik Mdoe na Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Dk Carolyne Nombo.
Wadau wa uandishi bunifu nao walikuwepo katika hafla hiyo ambayo ni mara ya kwanza kufanyika nchini
0 Comments