.jpeg)
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akipokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Sigara Tanzania (TCC), Ndg. Takashi Araki baada ya mazungumzo yaliyofanyika ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
0 Comments