Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amemvua hadhi ya Ubalozi Dkt. Wilbroad Peter Slaa kuanzia tarehe 01, Septemba 2023. Dkt. Slaa aliteuliwa kuwa Balozi tarehe 23 Novemba 2017
Kitaifa
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limefanya mkutano na wadau…
Read more
0 Comments