Ticker

6/recent/ticker-posts

WORLD VISION TANZANIA YASHIRIKI UZINDUZI KAMPENI YA 'ONGEA NAO', SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA

 


Mratibu wa Miradi wa Shirika la World Vision Tanzania, Wilaya ya Kishapu Yohana Masanja (kulia) akimwelezea Mgeni rasmi Katibu Tawala Wilaya ya Kishapu, Fatma Mohamed (aliyevaa kiremba) kuhusu shughuli zinazofanywa na Shirika la World Vision Tanzania katika kutokomeza ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto

Post a Comment

0 Comments