Ticker

6/recent/ticker-posts

BALEKE AFUNGA BAO, SIMBA IKIICHAPA DODOMA JIJI 1-0



NA EMMANUEL MBATILO

KLABU ya Simba imefanikiwa kuondoka na alama tatu ugenini wakiinyuka Dodoma Jiji 1-0, mchezo ambao ulipigwa kwenye dimba la Jamhuri Jijini Dodoma.

Katika mechi hiyo tumeshuhudia Simba Sc ikiwaanzisha wachezaji wao wapya waliowasajili kwenye dirisha dogo ambao ni Sawadogo pamoja na mshambuliaji kutoka DR Congo Jean Baleke.

Bao hilo pekee limefungwa na mshambuliaji wao mpya Jean Baleke akitumia makosa ya beki wa Dodoma Jijini na kuweza kufunga bao kwenye mchezo huo muhimu.

Post a Comment

0 Comments