![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2023/01/DSC_6499-copy.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2023/01/DSC_6582-copy.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2023/01/DSC_6603-copy.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2023/01/DSC_6655-copy.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2023/01/DSC_6694-copy.jpg)
Wanamichezo wa vikundi mbali mbali wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati alipokuwa akitoa hutua yake wakati wa Tamasha la Bonanza la michezo lililofanyika leo kisiwani Pemba katika Wilaya ya Chakechake Uwanja wa Gombani ya kale katika maadhimisho ya miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar.[Picha na Ikulu] 01/01/2023.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akitoa hutua yake wakati wa Tamasha la Bonanza la michezo lililofanyika leo kisiwani Pemba katika Wilaya ya Chakechake Uwanja wa Gombani ya kale katika maadhimisho ya miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar.[Picha na Ikulu] 01/01/2023.
Rais wa Zanziar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhi Cheti Mwakilishi wa Kikundi cha mazoezi cha IFM cha Dar es Salaam Ndg,Bin Rashid,wakati wa Tamasha la Bonanza la michezo lililofanyika leo kisiwani Pemba, Uwanja wa Gombani ya kale Wilaya ya Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba katika maadhimisho ya miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar.[Picha na Ikulu] 01/01/2023.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2023/01/DSC_6722-copy.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2023/01/DSC_6763-copy.jpg)
0 Comments