Ticker

6/recent/ticker-posts

BALEKE APIGA HAT TRICK, SIMBA IKIICHAKAZA MTIBWA SUGAR



KLABU ya Simba sc imefanikiwa kuondoka na alama tatu baada ya kuichakaza timu ya Mtibwa Sugar kwa mabao 3-0, katika mchezo uliopigwa kwenye dimba la Manungu mkoani Morogoro.

Katika mchezo huo tumeshuhudia Jean Baleke akifunga mabao hayo yote matatu Hat Trick na kuisaidia timu yake kuondoka na ushindi huo mnono kwenye mechi hiyo.

Post a Comment

0 Comments