Ticker

6/recent/ticker-posts

MKUTANO WA WADAU WA SEKTA YA NISHATI YA MAFUTA UGANDA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali wa Serikali ya Uganda mara baada ya kuwasili katika ukumbi wa Mkutano kwa ajili ya kusikiliza majadiliano ya Wadau mbalimbali katika Sekta ya Uwekezaji wa Mafuta katika Jiji la Kampala nchini Uganda tarehe 11 Mei, 2022.


Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa akiwa na Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji pamoja na Naibu Waziri wa Nishati Stephen Byabato wakiwa katika Kikao cha majadiliano ya Wadau mbalimbali katika Sekta ya Uwekezaji wa Mafuta katika Jiji la Kampala nchini Uganda tarehe 11 Mei, 2022.


Wadau kutoka Sekta mbalimbali nchini Tanzania wakiwa katika Kikao cha majadiliano ya Wadau kutoka Sekta ya Uwekezaji wa Mafuta katika Jiji la Kampala nchini Uganda tarehe 11 Mei, 2022.


Naibu Waziri wa Nishati Stephen Byabato akizungumza katika Kikao cha majadiliano ya Wadau mbalimbali kwenye Sekta ya Uwekezaji wa Mafuta Jijini Kampala nchini Uganda tarehe 11 Mei, 2022. PICHA NA IKULU

Post a Comment

0 Comments