Ticker

6/recent/ticker-posts

RAIS SAMIA ATENGUA UTEUZI WA KAMISHNA DIWANI ATHUMAN MSUYA


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ametengua uteuzi wa Kamishna Diwani Athumani Msuya, aliyemteua tarehe 03 Januari, 2023 kuwa Katibu Mkuu Ikulu.

Aidha, Rais Samia amemteua Bw. Mululi Majula Mahendeka kuwa Katibu Mkuu Ikulu. Bw. Mahendeka alikuwa Afisa Mwandamizi wa Ofisi ya Rais, Ikulu.

Zuhura Yunus
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu

Post a Comment

0 Comments